Mambo vipi rafiki! Tuna habari njema kwaajili yako kijana, leo tunazindua rasmi mradi wetu wa Health Spark wenye lengo la kutoa elimu ya afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana wa kitanzania. Awamu hii tutaanza na vijana wa Dar es Salaam, na mradi huu utahusisha vijana katika utekelezaji wake ikiwemo kwenye kuamua maeneo ya Dar es Salaam yakuanza nayo, lakini pia Tutawapa vijana nafasi ya kuwa walimu wa taarifa sahihi za afya ya uzazi kwa vijana wenzao. Tukiamini katika nguvu ya vijana katika kuleta mabadiliko ya vijana wenzao, hivyo tutatoa nafasi ya vijana waliotayari kujitolea kuwa Peer Educators chini ya mradi huu. Kaa tayari kwa taarifa zaidi, na kama wewe ni mdau wa mabadiliko ya vijana wenzako hii ni kwaajili yako. Sisi tunasema “Hakuna kitu cha vijana, Pasipo Vijana”. #Afyayauzazinihaki
Women And Youth Movement (woyomo)’s Post
More Relevant Posts
-
#GirlsPower 💃🔥🔥
Education and Gender activist | Feminist| Leader | Girls And Women’s Rights Advocate 🇹🇿 | Storyteller| Yali RC Alumnae|Founder & Executive Director @Women And Youth Movement (Woyomo)
This week i spent time with some of girls in Dar es Salaam, we had a good time together learning from eachother, sharing what we have, connecting and discussing so many issues that concerns girls growth including); advocacy, activism and feminism deeping to help them define themselves better, reflecting on what they are doing and what they wish to do as girls with dreams. We discussed on how to access different opportunities for girls and your women’s development. This discussion is because for the past few months Women And Youth Movement (woyomo) established an online community for girls and young women to access opportunities and for past few months we have been doing a research on girls access to education and opportunities. I keep learning a lot from girls and young women, we know what we want and how we want, and at some point girls activist are doing a lot for them to thrive) my credit on this🙌🏽 Few recommendations from them are(; they need more mentorship sessions and they prefer 1:1 sessions and having a mentor to walk with along the way, they need more resources to support their ideas to come into lives, they need more support on accessing national and international opportunities that can help them to seat in decision making tables, they need community and family support on their movement/ activism. And they need to be trusted as they navigate and grow to be better version of themselves. Everyday is a learning opportunity and am loving it connecting, hearing what they have in mind and ofcuse as a big sister am proud of them as how I always insist to trust the process and believe on little steps they’re making because always “Progress is Progress” Cc Women And Youth Movement (woyomo)
-
+7
To view or add a comment, sign in
-
Hii sio sawa kabisa. Hatuwezi kunyamaza kwa kuambiwa binti alikua anajiuza, hakuna tabia ya mtu inayohalalisha watu kumfanyia ukatili na unyama wa hali ya juu. Hapa tunaongelea haki za binadamu, Ubinadamu uhusike. Haki ipatikane kwaajili ya binti na watuhumiwa wahukumiwe kwa makosa waliyofanya na sio kuzidi kumhukumu binti ambae tayari kafanyiwa ukatili. Tuache victimization, tuache kuzidi kuvunja haki zake kama binadamu. Kumuita binti Kahaba tena mbele za vyombo vya habari ni UKATILI na kinyume cha sheria. Hatunyamazi tunataka haki itendeke. Hatuko salama mpaka haki itendeke. #justiceforbinti
To view or add a comment, sign in
-
As we are heading to international youth day we are thrilled to attend the joint young feminist national convening organized by @msichanainitiative and attended by different girls activists, feminists and other girls and young women empowerment stakeholders.
To view or add a comment, sign in
-
Leo tumetembelewa na Feminist Lead, moja ya wafadhiri wetu katika kutekeleza mradi wetu uliochini ya jukwaa letu la wasichana linaloitwa Girls Buzz. Tunawashukuru kwa kutuamini na kuwa tayari kuwekeza katika kuleta mabadiriko kwenye maisha ya wasichana tunaofanya nao kazi. Pamoja na kuzidi kujifunza nini wasichana wanahitaji ili waweze kutimiza ndoto zao.
To view or add a comment, sign in
-
Tukiwa tunaadhimisha siku ya Hedhi salama siku ya leo. Tunatambua bado kuna changamoto nyingi katika kuhakikisha upatikanaji wa Mazingira wezeshi ya hedhi salama kwa wasichana na wanawake. Katika dunia hii ya kidijitali je Uwepo wa Teknolojia inatusaidia vipi katika kuboresha huduma na Elimu ya hedhi? Ungana nasi siku ya leo kupitia Instagram live kuanzia saa mbili usiku tukiwa na wadau wengine tukijadili umuhimu wa Teknolojia katika Elimu ya hedhi salama . Hedhi haipaswi kuwa kikwazo cha msichana kutimiza ndoto zake. #Hedhisalama #menstrualhygieneday
To view or add a comment, sign in
-
Tunawatakia week njema, tunapoianza week hii tunazidi kuwekeza nguvu katika kutimiza malengo ya miradi yetu yote kwaajili ya jamii yetu. Pichani ni baadhi ya vijana wakiwa na team yetu baada ya kujadili na kupanga mipango mingi ya jinsi ya kuendelea kutimiza mradi wetu wa Health Spark. Afya ya uzazi ni haki ya kila mmoja, bila kujali hadhi, umri, kazi, sehemu anayoishi, jinsia wala kabila. Mambo mazuri yanazidi kuja 🥳🥳🥳
To view or add a comment, sign in
-
Wiki iliyopita tulianza rasmi mafunzo ya kuwawezesha Peer educators walioungana nasi katika kutekeleza mradi wetu wa Health Spark wenye lengo la kueneza elimu ya afya ya uzazi kwa vijana. Tunazidi kujifunza kutoka kwa vijana hawa kupitia maoni yao, mapendekezo yao na kubwa zaidi ni nia na utayari wao mkubwa katika kuwa sehemu ya mabadiriko katika jamii yetu. #AfyaYaUzaziNiHaki
To view or add a comment, sign in
124 followers