PURA TANZANIA

PURA TANZANIA

Oil and Gas

Upstream Regulator ensuring a sustained petroleum driven economy

About us

The Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA), is the regulatory authority established under Section 11 of the Petroleum Act, 2015 (Act No. 21 of 2015) with the mandate to regulate and monitor petroleum upstream operations and LNG activities in the Mainland Tanzania and providing advisory services to the Government and the Minister responsible for petroleum affairs.

Website
https://www.pura.go.tz/
Industry
Oil and Gas
Company size
51-200 employees
Headquarters
DAR ES SALAAM
Type
Government Agency
Founded
2015

Locations

  • Primary

    TANESCO BUILDING, 5 SAMORA MACHEL ROAD, P.O.BOX 11439, 11474 DAR ES SALAAM,TANZANIA

    DAR ES SALAAM, +255, TZ

    Get directions

Employees at PURA TANZANIA

Updates

  • View organization page for PURA TANZANIA, graphic

    190 followers

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PURA Bw. Halfani Halfani ameipongeza Mamlaka kwa kuratibu uandaliwaji wa miongozo ya Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) katika mamlaka za serikali za mitaa kwa maeneo inapotekelezwa miradi ya utafutaji, uendelezaji na uzalishaji wa mafuta na gesi asilia Pamoja na Yale yaliyopitiwa na mondo mbinu ya gesi asilia. Aidha ametoa rai kwa PURA kushirikiana na Mamlaka ya Huduma za Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) katika kuhakikisha miradi ya CSR inanufaisha wazawa katika miradi ya sekta ndogo ya mafuta na gesi asilia kwa ngazi za mkondo wa juu, wa kati na wa chini Bw. Halfani ameyasema hayo leo Julai 11, 2024 alipotembelea banda la PURA katika Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijiji Dar es Salaam. Mbali na banda la PURA Bw. Halfani ametembelea mabanda mengine ya taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati ikiwemo Mamlaka ya Huduma za Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar (ZPRA) ili kupata uelewa zaidi wa shughuli zake na miradi wanayoitekeleza.

    • No alternative text description for this image
    • No alternative text description for this image
    • No alternative text description for this image
    • No alternative text description for this image
    • No alternative text description for this image
      +1
  • View organization page for PURA TANZANIA, graphic

    190 followers

    Wataalamu wa PURA wanaendelea kutoa elimu na kuongeza uelewa wa Watanzania kuhusu shughuli za mkondo wa juu wa petroli nchini katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Banda letu linapatikana katika Jengo la Karume. Karibuni sana.

  • View organization page for PURA TANZANIA, graphic

    190 followers

    PURA SABASABA 2024: Karibuni kwenye banda la PURA lililopo ndani ya jengo la Karume, katika Maonesho ya Sabasaba 2024 ili kupata uelewa wa masuala yote yahusuyo shughuli za utafutaji na uzalishaji wa mafuta na gesi asilia nchini.

  • View organization page for PURA TANZANIA, graphic

    190 followers

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe. George Boniface Simbachawene akipata maelezo kuhusu PURA mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma kwa ajili ya sherehe za ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2024

    • No alternative text description for this image
    • No alternative text description for this image

Similar pages